Kahama FM
TUMBAKU
May 6, 2021, 7:06 pm
Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameiomba bod…
Madiwani wa Halmashauri ya ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameiomba bodi ya tumbaku Tanzania kushughulikia tatizo la vyama vya msingi vinne ambavyo havijalipwa fedha zao tangu msimu uliopita na makapuni ya ndani ya ununuzi wa tumbaku. Akizungumza katika kikao cha…