Kahama FM
tanzania media foundation
November 1, 2021, 2:07 pm
NUKTA AFRICA:Waandishi wa wa habari za mitandaoni andikeni habari zenye tija.
DAR ES SALAAM Waandishi wa habari za mitandao wametakiwa kuandika habari zenye ubora ikiwa ni pamoja na kutumia takwimu za uhakika ili kutoa taarifa sahihi kwa wasomaji na kuacha tabia ya kuangalia idadi ya wasomaji na watu waliotembelea mitandao yao.…