Kahama FM
siasa
March 30, 2021, 1:03 pm
Bunge laidhinisha DKT.PHILIP MPANGO kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limemthibitisha DKT. PHILIP MPANGO kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa 100%, Wabunge waliopiga kura ni 363 na wote wamepiga kura ya NDIO, hakuna kura iliyoharibika.
March 30, 2021, 11:50 am
Philip Mpango apendekezwa kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania SAMIA SULUHU HASSAN amempendekeza Waziri wa Fedha Dk. Philip Mpango kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kinachofuata sasa ni Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuthibitisha jina lake…