Kahama FM
polisi
February 23, 2022, 1:01 pm
KAHAMA:Jeshi la Polisi lawataka Wananchi kutoa taarifa za Uhalifu bila woga.
Jeshi la Polisi Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga limewatoa wasiwasi raia wema kuhusu utoaji wa taarifa za siri za waalifu katika maeneo yao kuwa wasiogope kama watajulikana pindi wanapotoa taarifa hizo. Wito huo umetolewa leo na Mkaguzi msaidizi wa Polisi Joseph…