Kahama FM

Mimba za utotoni

MIMBA ZA UTOTONI

March 31, 2021, 8:25 am

Mbaroni kwa kumpa Mimba bintiwa Darasa la nne.

Jeshi la polisi mkoani Kagera linamshikilia Kusekwa Madaha (27) mkazi wa kijiji cha Murongo wilayani Kyerwa kwa tuhuma ya kumpa mimba mwanafunzi wa darasa la nne ambaye jina lake na la shule, vimehifadhiwa. Kamanda wa polisi mkoani Kagera Revocatus Malimi…