Kahama FM

MAJANGA YA MOTO

July 3, 2023, 12:17 pm

Upungufu wa chakula: Wananchi watakiwa kuhifadhi mazao ya chakula

Wananchi wa halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameaswa kuhifadhi mazao katika msimu huu ili kuepuka uhaba wa chakula. Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuhifadhi mazao ya chakula kutokana na upungufu…