Kahama FM
MAFUTA
August 18, 2021, 8:51 pm
wilaya ya Kahama imeombwa kuangalia upya utaratibu katika zuio la uuzwaji wa nis…
Madiwani wa Halmashauri ya ushetu wilayani Kahama mkoani shinyanga wameiomba halmashauri hiyo kuangalia upya utaratibu katika zuio la uuzwaji wa nishati ya mafuta majumbani kutokana na kuwa na vituo vichache katika halmashauri hiyo yenye kata 20. Wakizungumza katika mkutano wa…