Kahama FM
LEAT
November 22, 2021, 5:56 pm
GEITA: LEAT yawapiga msasa madiwani 52 kuhusu sheria za madini na Utunzaji Mazin…
GEITA Madiwani wa halmshauri ya mji Geita Mkoani Geita wameiomba serikali na wadau wa maendeleo kuwapa elimu ya sheria ya ardhi na madini mara kwa mara ili kuwasaidia kuwa na uelewa kuhusu haki zao za msingi. Madiwani wametoa Wito huo leo mkaoni…