Kahama FM

KILIMO

August 25, 2021, 12:37 pm

RC Shinyanga azuia tani 400 za dengu kusafirishwa.

Mkuu wa mkoa wa Shinyanga, Dk Phillemon Sengati amezuia zaidi ya tani 400 za dengu zinazodaiwa kununuliwa kutoka kwa wakulima kwa njia ya ulanguzi zisisafirishwe nje ya mkoa huo. Dk Sengati ameagiza shehena hiyo ambayo ilikuwa imepakiwa kwenye malori tayari…