KILIMO
January 22, 2022, 11:11 am
Kahama:Viongozi na watendaji wa chama kikuu cha ushirika wilayani Kahama (KACU)…
Viongozi na watendaji wa chama kikuu cha ushirika wilayani kahama (KACU) wametakiwa kuwa waaminifu wakati wakiwahudumia wakulima ili kulinda heshima na hadhi ya chama hicho. Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya Kahama FESTO KISWAGA wakati akifungua kikao Cha mkutano…
November 4, 2021, 4:13 pm
KAHAMA: Zaidi ya Wakulima 320 wamegawiwa mbegu bure za zao la pamba
Zaidi ya Wakulima 320 wa zao la pamba katika kata ya Nyakende Halmashauri ya ushetu wilayani kahama mkoani Shinyanga wamepatiwa mbengu bure za zao la pamba zilizotolewa na serikali katika kuwainua wakulima hao katika zao hilo la kibiashara. Akizungumza wakati…
September 16, 2021, 11:43 am
Shinyanga: serikali yaunda timu maalumu ya kupitia mfumo wa mauzo ya mazao ya de…
Serikali imeunda Timu Maalumu ya Kupitia Mfumo wa Mauzo kwa mazao ya Jamii ya mikunde ikiwemo Dengu, Choroko, Mbaazi na Ufuta kwa ajili ya kusikiliza na kupokea maoni kwa wadau kuhusu namna bora ya kutekeleza ununuzi wa mazao hayo katika…
September 15, 2021, 3:03 pm
KAHAMA:VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VIMETAKIWA KUIGA MFANO WA CHAMA KIKUU CHA USHIRI…
Serikali imevitaka vyama vikuu vya ushirika nchini kuiga mfano wa chama kikuu cha ushirika Kahama (KACU) kwa kununua pamba na kuingia kwenye mnyororo wa thamani. Waziri wa kilimo profesa ADOLF MKENDA ametoa wito huo leo alipotembelea kiwanda cha chama kikuu…
August 25, 2021, 12:37 pm
RC Shinyanga azuia tani 400 za dengu kusafirishwa.
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga, Dk Phillemon Sengati amezuia zaidi ya tani 400 za dengu zinazodaiwa kununuliwa kutoka kwa wakulima kwa njia ya ulanguzi zisisafirishwe nje ya mkoa huo. Dk Sengati ameagiza shehena hiyo ambayo ilikuwa imepakiwa kwenye malori tayari…