Kahama FM
KATAMBI
July 15, 2021, 2:02 pm
KATAMBI:Vijana bila kuwa na Malengo na Kujitolea kwanza kutoboa ni ngumu.
KAHAMA: Naibu Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Ajira, Patrobas Katambi amewataka Vijana wa Tanzania kuwa na malengo katika Maisha yao ikiwa Ni pamoja na kuanza kufanya kazi kwa kujitolea katika mashirikia na ofisi Mbalimbali. Katambi…