Kahama FM

jpm

March 28, 2021, 1:54 pm

Wananchi Manispaa ya Kahama Wamlilia JPM,

Wakazi wa manispaa ya KAHAMA mkoani SHINYANGA wameeleza kuhuzunishwa na kifo cha aliyekuwa raisi wa TANZANIA JOHN POMBE MAGUFULI Wakizungumza na KAHAMA FM baadhi ya wakazi hao,FANUEL NZAGAMBA na SAMWELI MATIKO wamesema hayati MAGUFULI alikuwa na maono yenye matokeo chanya…