Kahama FM
festo kiswaga
November 4, 2021, 1:49 pm
KAHAMA:Watumishi wa serikali watakaokwamisha ujenzi wa Madarasa kusimamishwa kaz…
Walimu wa kuu shule za sekondari na watendaji wa serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kusimamia vyema fedha za ujenzi wa madarasa zilizotolewa Rais SAMIA SULUHA HASSANI ili madarasa hayo yakamilike kwa wakati na watakaokwamisha watasimamishwa kazi. Agizo hilo limetolewa…