Kahama FM
asasi
October 24, 2021, 11:02 am
DODOMA:Job Ndugai azionya Asasi kuacha kutumika kuchafua nchi.
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai, amefungua rasmi wiki ya Asasi za kiraia (AZAKI) Jijini Dodoma na kuzionya baadhi ya asasi kuacha kutumika kuchafua nchi.Uzinduzi wa wiki hiyo ya Asasi za kiraia umefanyika katika viwanja…