Kahama FM
harakati za mwanamke
February 14, 2022, 3:31 pm
DR KITIMA:Wanaume na wanawake wote wana haki ya Kuishi,Acheni mauaji.
DAR ES SALAAM Jamii imetakiwa kuelewa kuwa wanaume na wanawake wote wana haki sawa ya kuishi na kufanya shughuli zozote zilizo halali na kwamba wanaume waache tabia ya unyanyasaji na mauaji yanayofanywa dhidi ya wanawake. Wito huo umetolewa mwishoni mwa…