Joy FM
upatikanaji wa sukari
22 February 2024, 16:11
Wakuu wa mikoa kuwachukulia hatua wanaohujumu upatikanaji wa sukari
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amewaagiza Wakuu wa Mikoa yote nchini kusimamia kwa makini usambazaji wa sukari na kuwachukulia hatua wafanyabiashara wote wanaohujumu upatikanaji wake. Waziri Mchengerwa, ametoa agizo…