Joy FM
upatikanaji wa dawa
12 March 2024, 13:24
Madiwani Kibondo wasisitiza upatikanaji wa dawa muhimu
Madiwani katika halmashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma wameitaka idara ya afya wilayani humo kuhakikisha dawa muhimu zinapatikana muda wote katika zahanati, vituo vya afya na hospitali ya wilaya ili kuondoa usumbufu kwa wagonjwa hasa wajawazito, watoto na wazee.…