Joy FM
ujenzi wa shule
26 March 2024, 15:38
Wananchi wafurahia utekelezaji wa miradi ya elimu Kakonko
Wakazi wa Kata ya Kanyonza katika Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma, wameishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kujenga shule ya sekondari ya wasichana ya bweni na ambayo itatoa fursa kwa mabinti…