Joy FM

ujenzi wa shule

26 March 2024, 15:38

Wananchi wafurahia utekelezaji wa miradi ya elimu Kakonko

Wakazi wa Kata ya Kanyonza katika Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma, wameishukuru serikali ya  awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kujenga shule ya sekondari ya wasichana ya bweni na ambayo itatoa fursa kwa mabinti…