Joy FM
red eyes
8 February 2024, 19:59
Kigoma: Wananchi waonywa matumizi ya dawa kiholela kutibu macho mekundu
Wananchi mkoani Kigoma wametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa macho mekundu, ulioripotiwa hivi karibuni kutokea katika baadhi ya mikoa mbalimbali hapa nchini. Na, Horida Sayoni Mganga mkuu wa mkoa wa kigoma Dr. Jesca Leba Amesema hayo wakati akizungumza na…