Joy FM

magonjwa ya mlipuko

12 February 2024, 15:12

Maji ya mito yatajwa chanzo kikuu cha magonjwa ya mlipuko

Jamii Mkoani Kigoma imetakiwa kuzingatia usafi wa mazingira ili kujilinda na magonjwa ya mlipuko ambayo yamekuwa yakiwakumba baadhi ya wakazi wa mkoa huu katika baadhi ya maeneo ikiwemo kibirizi, Kalalangabo na Gungu lakini na wilaya ya Uvinza ambapo watu 74…