Joy FM

elimu

7 November 2024, 16:55

WPC yatoa baiskeli kwa vijana kukabiliana na mimba kwa watoto wa kike

Serikali katika Halmashauri za Wilaya Kibondo na Kakonko imesema itaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo ili kuwasaidia vijana mikopo inayotolewa kwa ajili ya kuhakikisha wanapata mafanikio kupitia shughuli mbalimbali na kuwaepusha na mimba za utotoni. Na James Jovin – Kibondo…

7 November 2024, 14:50

Wanavyuo watakiwa kukemea vitendo vya ukatili Kasulu

Pichani ni Mkaguzi msaidizi wa polisi ambaye pia ni Mkuu wa kitengo cha dawati la jinsia wilaya ya Kasulu Maimuna Omari wakati akizungumza na wananchuo wa FDC Kasulu. Mkaguzi msaidizi wa Polisi ambaye pia ni Mkuu wa dawati la jinsia…

5 November 2024, 15:34

Dkt. Chuachua ahimiza wakulima kulima zao la michikichi Kigoma

Manispaa ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma imesema itaendelea kugawa miche ya michikichi kwa wakulima ili kuhakikisha inatekeleza agizo la Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa la kila halmashauri kugawa miche kwa wakulima kama mkakati wa kukabiliana na uhaba wa…

5 November 2024, 13:09

Wahudumu wa afya watakiwa kutoa elimu ya uzazi Kasulu

Serikali kupitia idara ya katika Halmashauri ya mji wa Kasulu Mkoani Kigoma imewataka wanawake hasa wajawazito kuhidhuria kliniki na kutumia dawa wanazoelekezwa na wataalamu wa afya waweze kujifungu watoto wakiwa hawana matatizo. Na Michael Mpunije – Kasulu Baadhi ya wanawake…

5 November 2024, 09:20

Wanawake Kigoma watakiwa kutumia fursa kujikwamua kiuchumi

Wananawake Mkaoni Kigoma wametakiwa kutumia makongamamano mbalimbali ikiwemo Kigoma Ladies Gala ili kuweza kujifunza na kutambua fursa zitakazoweza kuwainua kiuchumi na taifa kwa ujumla. Na Joha Sultan – Kigoma Baadhi ya Wanawake mkoani Kigoma wameshauriwa kutumia fursa mbalimbali zilizopo mkoani…

29 October 2024, 11:09

Makala: Uboreshaji wa barabara Kigoma ulivyoinua uchumi

Serikali Mkoani Kigoma kupitia kwa Mkuu wa mkoa huo Kamishana Jenerali Mstaafu wa Jeshi la zimamoto na uokoaji Thobias Andengenye serikali imeendelea kuufaungua mkoa wa kigoma kwa kujenga na kuboresha miundombinu ya barabara na kurahisisha Mkoa wa kigoma kufunguka kibiashara…

28 October 2024, 15:32

Madaktari bingwa waweka kambi hospitali ya rufaa maweni Kigoma

Madaktari bingwa na mabingwa bobezi  31 wameanza Kambi ya  matibabu ya Siku Tano ikiwa ni katika kuadhimisha miaka Hamsini (50) tangu kuanzishwa kwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kigoma Maweni.  Na Lucas Hoha – Kigoma Wananchi Mkoani Kigoma wamepongeza…