Joy FM

dawa za kulevya

5 April 2024, 14:11

Wanafunzi kuchukuliwa hatua matumizi ya madawa ya kulevya Kigoma

Wanafunzi mkoani Kigoma wametakiwa kuacha kutumia madawa ya kulevya na endapo atabainika yeyote anayetumia taarifa zitolewe kwa viongozi wao ili achukuliwa hatua za kisheria. Hayo yamebainishwa na Mdhibiti Ubora wa Shule halmashauri ya wilaya ya Kigoma Gibson Ntamamilo wakati wa…