Jamii FM
Uchumi
8 January 2022, 14:05 pm
Meli Kubwa yatia Nanga Bandari ya Mtwara kubeba Makaa ya Mawe
“Meli kubwa ya Star fighter ambayo itaondoka na tani elfu 59 za makaa yam awe, Sisi tumefurahi sana ujio wake, na uzito unaoondoka hapa kwa upande ule wa gati ya zamani tusingeweza kuipaki kwa tani elfu 59, uboreshaji na ujenzi…
18 February 2021, 10:14 am
Wakulima wa chumvi Mtwara waipongeza Serikali kwa kuwaboreshea Miundombinu
Mapema leo tarehe 17 Februari, 2021 uongozi wa Kikundi cha Vijana cha Makonde Salt kilichopo kata ya Ndumbwe umeipongeza halmashauri ya wilaya ya Mtwara kwa uwezeshaji wa mkopo wa zaidi ya Milioni 15 uliosaidia kuboresha miundombinu ya mashamba yao ya…