Jamii FM

nishati

2 November 2020, 13:07 pm

Wanakijiji waomba umeme na maji.

Wananchi wa kijiji cha maili kumi kata ya Mbawala Halmashauri ya wilaya ya Mtwara wameomba kupatiwa huduma ya maji na nishati ya umeme kwenye kijiji chao, hali ambayo imekuwa ikiwachelewesha maendeleo  na kudumaza hali ya kijiji. Nishati ya umeme imepita…