Jamii FM
Michezo
14 March 2021, 18:08 pm
Wazazi simamieni ndoto za watoto wa kike
Shirika la Sports Development Aid (SDA) limeadhimisha siku ya Wanawake Duniani Machi 12, 2021 kwa kuandaa tamasha lililowakutanisha wanafunzi wa shule ya Msingi na Sekondari Naliendele zilizopo Manispaa ya Mtwara Mikindani Mkoani Mtwara. Lengo la tamasha hilo likilenga kuwapa elimu…