Ileje FM
habari ya kipolisi
October 19, 2021, 12:03 pm
Kamanda wa polisi akanusha askari kupasuliwa fuvu la kichwa Songwe
kamanda wa polisi mkoa wa Songwe Janeth Magomi amekanusha taarifa iliyosambaa kwenye vyombo vya habari juu ya baadhi ya askari wa jeshi la polisi wilayani Mbozi kupasuliwa fuvu la kichwa na wananchi wenye hasira kali wa kijiji cha Mpanda kata…