Ileje FM
dini
March 18, 2024, 4:33 pm
Viongozi wa dini hamasisheni waumini wajenge mwabweni ya shule
Denis Sinkonde, Songwe Ili kukabiliana na mimba kwa wanafunzi wilayani Ileje mkoani Songwe viongozi wa dini wametakiwa kuwahamasisha waumini wao kujitolea kujenga mabweni kwenye shule za sekondari ili kuwaondolea adha wanafunzi wa kike kufuata masomo umbali mrefu. Hayo yamesemwa jana…