Huheso FM
Ujenzi
March 25, 2024, 1:13 pm
Kishimba akabidhi mawe na fedha ujenzi wa Mitaro jimboni kwake
Neema Nkumbi-Huheso FM Mbunge wa Jimbo la Kahama mjini Mheshimiwa Jumanne Kishimba amekabidhi mifuko 50 ya saruji pamoja fedha shilingi milioni moja kwa ajili ya ujenzi wa mitaro unaoendelea Kata ya Majengo katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga. Mifuko hiyo…
March 8, 2024, 10:38 am
Wananchi wachangia milioni 16 ujenzi wa vyumba vya madarasa Kahama
Serikali ya mtaa wa Mhongolo Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga imeelezea namna ilivyotekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa kushirikiana na wananchi wa mtaa huo. Imesema kuwa zaidi ya shilingi milioni 16 nguvu za wananchi zilitumika katika ujenzi wa boma la…