Huheso FM

MADINI

March 18, 2024, 4:06 pm

Waziri Mavunde afungua kituo cha mafunzo ya madini Kahama

Mavunde amesisitiza kuwa katika eneo la Buzwagi sambamba na kituo hicho cha Barrick Academy wananchi wazawa na watanzania kwa ujumla lazima wanufaike nalo na serikali inaendelea kuwakaribisha wawekezaji nchini kuwekeza hali itakayosaidia kuwakuza wachimbaji wadogo kwa kupatiwa mafunzo mbalimbali. Na…

March 24, 2021, 9:46 am

MADINI YA NICKEL KUWEZESHA AJIRA 3000.

IMEFAHAMIKA kwamba uwekezaji wa madini ya Nickel wilayani Ngara sambamba na kujengwa kwa kinu cha kuchenjulia madini hayo ( Smalter )katika Mgodi wa Dhahabu wa Buzwagi,wilaya ya Kahama,mkoa wa Shinyanga,utawezesha kupatikana ajira za watu 3000. Hayo yalibainishwa juzi wilayani Kahama,na…