MADINI
March 18, 2024, 4:06 pm
Waziri Mavunde afungua kituo cha mafunzo ya madini Kahama
Mavunde amesisitiza kuwa katika eneo la Buzwagi sambamba na kituo hicho cha Barrick Academy wananchi wazawa na watanzania kwa ujumla lazima wanufaike nalo na serikali inaendelea kuwakaribisha wawekezaji nchini kuwekeza hali itakayosaidia kuwakuza wachimbaji wadogo kwa kupatiwa mafunzo mbalimbali. Na…
March 25, 2021, 2:37 pm
FADEV kutoa ruzuku kwa wanawake Wachimbaji Wadogo wa Madini Shinyanga.
TAASISI ya kuendeleza wachimbaji wadogo wa madini hapa nchini (FADev), wanatarajia kuanza utoaji wa fedha za Ruzuku kwa wanawake ambao ni wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu mkoani Shinyanga, pamoja na kuwapatia mkopo wa vifaa vya uchimbaji bila riba, ili…
March 24, 2021, 10:31 am
MASHARTI YA MILA ZA JADI CHANZO CHA MAGONJWA YA MILIPUKO MIGODINI
IMEELEZWA kwamba mila na desturi za jadi, zinazoabudiwa na baadhi ya wachimbaji wadogo,zimekuwa ni miongoni mwa vyanzo vinavyochangia kuibuka kwa magonjwa ya milipuko kipindi cha masika katika maeneo ya migodi. Hayo yalielezwa na Katibu wa Idara ya Afya na Mazingira,…
March 24, 2021, 9:46 am
MADINI YA NICKEL KUWEZESHA AJIRA 3000.
IMEFAHAMIKA kwamba uwekezaji wa madini ya Nickel wilayani Ngara sambamba na kujengwa kwa kinu cha kuchenjulia madini hayo ( Smalter )katika Mgodi wa Dhahabu wa Buzwagi,wilaya ya Kahama,mkoa wa Shinyanga,utawezesha kupatikana ajira za watu 3000. Hayo yalibainishwa juzi wilayani Kahama,na…