Kero
March 21, 2024, 12:38 pm
Viongozi kituo cha mabasi Kahama wadaiwa kujinufaisha milioni 19, DC Mhita awaka
Umoja wa vikundi mbalimbali vilivyopo kituo cha mabasi cha CDT wamemuomba mkuu wa Wilaya ya Kahama Mheshimiwa Mboni Mhita kuwasaidia kutatua changamoto zinazowakabili katika eneo hilo ikiwemo urejeshwaji wa fedha zinazodaiwa “kutafunwa” na baadhi ya viongozi waliotoka madarakani. Na Neema…
September 14, 2023, 7:36 pm
Clouds Ndondo Cup kuanza kutimua vumbi Kahama Oktoba Mosi
Mashindano ya Clouds Ndondo Cup yanatarajiwa kufanyika mjini Kahama kuanzia Oktoba Mosi mwaka huu 2023 na usajili wa timu kushiriki wa timu utafungwa rasmi tarehe 22 Septemba 2023 na upangwaji wa makundi utafanyika Septemba 25, 2023 na kila kundi litakuwa…
September 13, 2023, 11:07 pm
Mechi ya pongezi kwa Taifa Stars yapigwa Kilago, Mgeja asifu vipaji
Katika mchezo huo Khamis Mgeja amehudhuria kama mgeni rasmi ambapo amepongeza jitihada zinazofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuunga mkono na kusapoti michezo na kuwapatia taifa stars milioni mia tano kwa kufanikiwa…
September 12, 2023, 11:26 am
Mgeja kuhudhuria mechi ya kuipongeza Taifa stars kufuzu Afcon
Khamis Mgeja licha tu ya kuwa mdau mkubwa wa michezo nchini amekuwa na mchango mkubwa katika kuhamasisha michezo nchini hasa kwenye masuala mazima yanagusa maslahi mapana ya wananchi na taifa kwa ujumla ambapo amekuwa akiunga mkono timu mbalimbali kwa michango…