Huheso FM
ARDHI
March 4, 2024, 3:06 pm
Afisa mipango miji Kahama asimamishwa kazi
“Huyu afisa alikuwa mpenzi wake na huyu mama kwahiyo penzi lilivyokufa huyu mama alikuwa anashindwa kudai haki yake ya kiwanja” Na Paschal Malulu-Huheso fm Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Christina Mndeme amewasimamisha watumishi wanne wa halmashauri ya Manispaa ya Kahama…