Huheso FM
AGIZO
March 4, 2024, 4:25 pm
Wamiliki wa nyumba za dada poa Kahama kukamatwa na wateja wao
Msiwakamate wanawake tu kamata wote anaejiuza na anaemnunua wote kamata weka ndani Na Paschal Malulu Mkuu wa mkoa wa Shinyanga, Christina Mndeme ameagiza kukamatwa kwa watu wanaofanya biashara haramu ya ngono wilayani Kahama baada ya kushamiri kwa biashara hiyo na…