Highlands FM
Habari za kijamii
21 March 2024, 14:57
CST yatenga Sh 2b kupiga jeki elimu Nyanda za Juu Kusini
Na Lameck Charles Highlands Fm Radio Mbeya Taasisi isiyo ya kiserikali ya Chilid Support Tanzania imezindua mradi wenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2 mradi wa “Peleka Rafiki zangu Shule” mradi unaolenga kuendelea kutoa mafunzo ya elimu kwa walimu…