FM Manyara

Mvua

April 9, 2024, 3:05 pm

Wananchi Manyara watakiwa kuchukua tahadhari ya mvua

Wananchi waishio mabondeni mkoani Manyara wametakiwa kuchuku tahadhari. Na George Agustino Wananchi mkoani Manyara wanaoishi katika maeneo ya mabonde na kwenye miteremko wametakiwa kuchukua tahadhari katika kipindi hiki cha mvua kubwa za masika zinazoendelea kunyesha kwa mwezi huu wa April…