Mauaji
July 2, 2024, 7:46 pm
Polisi Babati yawasaka waliohusika na mauaji ya mwizi wa bodaboda
Baada ya kijana mmoja anayedaiwa kuhusika kula njama ya kuiba pikipiki kuuliwa kwa kupigwa na kuchoma moto na madereva pikipiki maarufu bodaboda wilayani Babati mkoani Manyara, wanasakwa na jeshi la polisi kwa kuhusika na tukio hilo. Na George Augustino Jeshi la…
May 8, 2024, 11:02 pm
Jela miaka 20 kwa kukutwa na nyama ya twiga
Hakimu wa wilaya ya Babati Victor Kimario awahukumu kwenda jela miaka 20 Paul Himid na Athumani kwa kukutwa na nyama ya twiga,kichwa na mkia wa twiga kinyume cha sheria. Na George Agustino Mahakama ya wilaya ya Babati mkoani Manyara imewahukumu…
March 15, 2024, 11:27 pm
Watatu wauawa akiwemo mama mjamzito Manyara
Polisi Manyara inamshikilia Ahita Dahachi (42), kwa tuhuma za kumuua mama yake mzazi na mama mjamzito. Na Mzidalfa Zaid Jeshi la Polisi mkoani Manyara linamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Ahita Dahachi (42), kwa tuhuma za kuwaua watu watatu…
February 20, 2024, 7:14 pm
Mtoto wa miaka 7 Babati auwawa kwa kutenganishwa kichwa, kiwiliwili
Na Mzidalfa Zaid Mtoto mwenye umri wa miaka saba ambaye ni mwanafuzi wa chekechea ameuwawa kwa kuchinjwa na mtu asiyejulikana katika kijiji cha Mapea kata ya magugu wilayani babati mkoani Manyara. Akizungumzia tukio hilo Mwenyekiti wa kijiji cha Mapea Filmon…