FM Manyara
Kilimo
June 13, 2024, 4:47 pm
Wakulima mkoani Manyara watakiwa kuuza Mazao kwa kutumia Mizani
Wakala wa vipimo mkoa wa Manyara unajukumu la kumlinda mlaji kwa kupima mizani zote za wafanyabiashara ili mkulima auze mazao yake na kupata fedha kulingana na thamani ya mazao yake aliyolima Na George Augustino Wakulima mkoani Manyara wametakiwa kuuza mazao mbali…
February 16, 2024, 7:21 pm
Tosci yawataka wakulima kutoa taarifa wanapouziwa mbegu zisizo na ubora
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kutoa taarifa kwa Taasisi ya kudhibiti ubora wa mbegu Tanzania (TOSCI) wanapobaini wameuziwa mbegu bandia. Na Mzidalfa Zaid Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kutoa taarifa kwa Taasisi ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) wanapobaini wameuziwa mbegu bandia…