FM Manyara
Dini
June 18, 2024, 6:47 pm
Wananchi Manyara watakiwa kudumisha amani, kuliombea taifa
Wakati wa umini wa dini ya kiislam Mkoani Manyara wakisherekea sikukuu ya E al-adha Shekhe Mkuu wa Mkoa wa Manyara amewataka kusheherekea sikukuu hiyo kwa kudumisha amani iliyopo nchini bila kuvunja sheria ya nchi na kuliombea taifa. Na Hawa Rashid…
May 20, 2024, 9:18 pm
Viongozi wa dini Manyara walia na maadili mabovu
Ili kuendelea kuwa na maadili mazuri katika familia, wazazi wametakiwa kuwalinda watoto wao na kuwapa malezi bora kwa kushirikiana na jamii kwa pamoja ili kusaidia kuwa na kizazi bora katika jamii. Na Hawa Rashid Viongozi wa dini mkoani Manyara wameitaka…