FM Manyara
Dawa za kulevya
February 22, 2024, 6:31 pm
Wananchi watakiwa kutowanyanyapaa waraibu wa dawa za kulevya
Jamii mkoani Manyara imetakiwa kuacha tabia ya kuwanyanyapaa waraibu wa dawa za kulevya na badala yake wawaunganishe na vituo vya tiba. Na Mzidalfa Zaida Jamii mkoani Manyara na Kanda ya Kaskazini kwa ujumla imetakiwa kuacha tabia ya kuwanyanyapaa waraibu wa…