FM Manyara

Afya

June 25, 2024, 1:29 pm

Manyara yatajwa kuwa na asilimia 32 ya udumavu

Licha ya mkoa wa Mnyara kuwa na uzalishaji mkubwa wa vyakula mbali mbali hali ya udumavu imeonekana kuwa juu hasa katika maeneo ya kata ya Bashay iliyopo wilaya mbulu vijijini Na Marino Kawishe Mkoa wa Manyara umetajwa kuwa na silimia…

June 13, 2024, 5:07 pm

Maadhimisho ya damu salama kitaifa kufanyika Manyara

Zoezi  la uchangiaji  limeanza  juni 1 2024 kwakuweka kambi katika maeneo mbali mbali ya mkoa wa Manyara na wananchi kuchangia damu pamoja na utoaji wa elimu ambapo kilele chake kitafanyika june 14 katika ukumbi wa CCM mkoa mkoani Manyara Na…

May 28, 2024, 10:16 pm

FM Manyara yagawa taulo za kike kwa wafungwa, wanafunzi

Leo ikiwa ni Siku ya Hedhi Salama duniani mabinti na wanawake wote kwa ujumla wametakiwa kujihifadhi kwakutumia taulo za kike, FM Manyara radio imetembelea na kugawa taulo za kike kwa wanafunzi pamoja na wafungwa wanawake wilayani Babati mkoani Manyara na…

April 11, 2024, 6:16 pm

Sendiga aitaka Babati mji kutafuta ufumbuzi wa taka

Halmashauri ya mji wa Babati yatakiwa kutafuta magari ya kuzolea taka. Na Angel Munuo Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga ameitaka Halmashauri ya mji wa Babati kuhakikisha wanatafuta ufumbuzi wa kupata magari ya kuzolea taka  wakati wakijipanga kupata gari…

April 9, 2024, 2:47 pm

 NHIF yaboreha kitita cha mafao

Jamii mkoani Manyara imetakiwa kujiunga na mfuko Taifa wa bima ya Afya. Na George Agustino Jamii mkoani Manyara imetakiwa kujiunga na mfuko wa Taifa wa bima ya afya NHIF ili kuepuka gharama kubwa za matibabu wanapokwenda kupata huduma za matibabu…

March 8, 2024, 11:03 am

Wagonjwa 10 wa kipindupindu waruhusiwa Mrara

Wagonjwa waliokuwa wanaugua ugonjwa wa kipindu pindu waruhusiwa baada ya kupatiwa matibabu. Na Mzidalifa zaid Wagonjwa 10 waliokuwa wanaugua ugonjwa wa kipindupindu katika hospitali ya mji mrara wilayani babati mkoani manyara  wameruhusiwa  baada ya kupatiwa matibabu ambapo wananchi wametakiwa kuendelea …