Dodoma FM
Zoezi Dodoma
21 March 2021, 1:57 pm
Hatimaye zoezi la kumuaga Dkt John Magufuli lahamia Dodoma
Na; Mariam Kasawa Wakazi wa Mkoa wa Dodoma na maeneo ya jirani wametakiwa kujitokeza mapema katika uwanja wa Jamhuri kwaajili ya kushiriki zoezi la kumuaga hayati Dkt. John Pombe Magufuli. Akizungumza na waandishi wa habari Msemaji mkuu wa Serikali Dkt.Hassani…