Dodoma FM
Dodoma FM
16 December 2025, 4:17 pm
Wananchi hao wameiomba Serikali kuchukua hatua za haraka ili kulinusuru eneo hilo na majanga ya moto yanayoweza kusababisha hasara kubwa zaidi. Na Steven Noel. Wananchi wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuwapatia gari la zimamoto na uokoaji ili…
25 September 2025, 4:01 pm
Upanuzi wa barabara unafanyika kwa lengo la kurahisisha upatikanaji wa huduma za dharura pindi majanga yatakapojitokeza. Na Lilian Leopold.Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Dodoma Septemba 24, 2025 limeendelea na zoezi la kupanua barabara ndani ya masoko ambapo limefanyika…
21 June 2023, 4:21 pm
Serikali imeanzisha mifuko ya hifadhi ya jamii kwa ajili ya kulipa mafao ya mtumishi pindi mfanyakazi anapostaafu au kuacha kazi. Na Mindi Joseph. Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi ameagiza wakurugenzi…