Dodoma FM
ziara ya maji Kongwa
4 June 2021, 1:23 pm
Waziri Awesso afanya ziara ya kukagua miradi ya maji wilaya ya Kongwa
Na; Selemani Juma. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ameagiza kuondolewa katika wizara hiyo mhandisi wa maji wa Wakala wa Maji Vijijini (Ruwasa) Wilaya ya Hanang, Herbert Kijazi baada ya kuisababishia hasara Serikali ya Shilingi milion 609. Hatua ya hiyo imekuja…