Dodoma FM
Zanzibar
19 July 2022, 11:14 am
Mkoa wa Dodoma kuanza mkakati mpya wa kilimo cha Alizeti
Na; Benard Filbert. Serikali ya mkoa wa Dodoma kwa kushirikiana na wizara ya viwanda na biashara inatarajia kuanza mkakati mpya wa kilimo cha alizeti ili kuhamasisha watu kujihusisha na kilimo hicho kwa wingi. Hayo yameelezwa na mkuu wa mkoa wa…
17 May 2022, 2:34 pm
Tume ya umwagiliaji yatakiwa kujenga mfumo imara wa skimu za umwagiliaji
Na;Mindi Joseph. Waziri wa Kilimo Mheshimiwa Hussein Bashe ameitaka Menejimenti ya Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kujenga mfumo imara wa kusimamia Skimu za Umwagiliaji nchini. Akizungumza Jijini Dodoma katika katika kikao kazi cha Menejimenti na Wakandarasi amesema kipaumbele cha Wizara…