Dodoma FM

zahati

5 December 2025, 4:11 pm

Ukosefu wa maabara Igandu wananchi watibiwa bila vipimo

Aidha ameongeza kuwa hali hiyo inawalizimu kusafiri kilomita kadhaa kwenda vituo vya afya vya kata jirani ili kupata vipimo zaidi. Na Victor Chigwada.Imeelezwa kuwa kukosekana kwa maabara katika zahanati ya Igandu Wilaya ya Chamwino imepelekea baadhi ya wananchi kupewa matibabu…

14 February 2022, 5:44 pm

Wakazi wa Chitabuli waomba kujengewa Zahanati

Na; Neema Shirima. Wananchi wa kijiji cha Chitabuli katika kata ya Membe jijini Dodoma wameiomba serikali iwajengee zahanati ili waweze kuondokana na changamoto ya ukosefu wa huduma hiyo katika kijiji hicho Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema changamoto…