Dodoma FM
Dodoma FM
5 December 2025, 4:11 pm
Aidha ameongeza kuwa hali hiyo inawalizimu kusafiri kilomita kadhaa kwenda vituo vya afya vya kata jirani ili kupata vipimo zaidi. Na Victor Chigwada.Imeelezwa kuwa kukosekana kwa maabara katika zahanati ya Igandu Wilaya ya Chamwino imepelekea baadhi ya wananchi kupewa matibabu…
2 February 2023, 11:15 am
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda ametoa ufafanuzi na sababu NECTA Haitangazi Shule Bora na Zile Zilizofanya Vibaya. Na Seleman Kodima. Amesema kuwa takwimu zote ambazo zinahusu kutangaza shule ipi bora zinapatikana na wala sio siri bali…
14 February 2022, 5:44 pm
Na; Neema Shirima. Wananchi wa kijiji cha Chitabuli katika kata ya Membe jijini Dodoma wameiomba serikali iwajengee zahanati ili waweze kuondokana na changamoto ya ukosefu wa huduma hiyo katika kijiji hicho Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema changamoto…