Dodoma FM
wosia
5 May 2022, 7:40 am
Elimu ya mipaka itolewe kwa viongozi wa mitaa
Na;Yussuph Hassan. Elimu ya mipaka ya ardhi katika kipindi cha Sensa ya watu na makazi imetajwa kuwa muhimu katika kuhakikisha kila eneo linafahamu kwa kina mipaka yake. Akizungumza na kituo hiki Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Nzije Jijini hapa…
29 July 2021, 10:30 am
Jamii imetakiwa kuto puuza swala la kuandika wosia ili kuepusha changamoto zinaz…
Na; Shani Nicolous. Jamii imetakiwa kutokupuuza suala la kuandika wosia kuhusiana na masuala ya mirathi kwani kumekuwa na changamoto nyingi zinazojitokeza katika ugawaji wa mali za marehemu. Akizungumza na Dodoma fm kupitia kipindi cha Dodoma live msaidizi wa kisheria kutoka…