Dodoma FM
wiki ya teknolojia
11 May 2021, 1:08 pm
Wananchi wametakiwa kuunga mkono juhudi za kuhamasisha ubunifu wa teknolojia,
Na; Fred Cheti . Serikali imewataka wananchi kuunga mkono juhudi zake katika kuhamasisha ubunifu wa teknolojia ili matumizi yake yaweze kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili katika maeneo yao. Wito huo umetolewa leo na waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania…