Dodoma FM
Wauguzi
26 February 2024, 5:55 pm
Waganga wafawidhi watakiwa kusimamia marufuku ya simu kwa wauguzi
Katika mahafali hayo jumla ya watahiniwa 2099 wameweza kutunukiwa vyeti ,kufanyiwa uorodheshwaji pamoja na pamoja na kupewa Leseni na baraza hilo la uuguzi na ukunga tayari kuanza kutumikia katika utoaji wa huduma za afya. Na Mariam Matundu. Waganga wafawidhi nchini…