Dodoma FM

Wakazi wa Dodoma

18 March 2021, 12:59 pm

Wakazi wa Dodoma wayakumbuka mema ya Magufuli

Na , Yusuph Hans, Moja ya Alama Kuu aliyoiacha Rais wa Awamu ya tano Dkt John Pombe Magufuli hususan kwa wakazi wa  Mkoa wa Dodoma ni pamoja na kuhamishia shughuli zote za Kiserikali Mkoani hapa. Wakizungumza na Taswira ya habari…