Dodoma FM
wajibu wa wanaume
14 July 2021, 1:49 pm
Wanaume wilayani Kongwa watakiwa kutambua majukumu yao katika familia
Na; Benard Filbert. Wanaume katika kata ya Chiwe wilayani Kongwa wametakiwa kuepuka kutelekezea wanawake majukumu ya familia ikiwemo kusomesha watoto na badala yake washiriki kwa pamoja. Hayo yameelezwa na Diwani wa Kata ya Chiwe Bw. Dastan Chinyali wakati akizungumza na…