Dodoma FM
wahudumu wa Afya
23 July 2021, 12:41 pm
Wakazi wa Matongoro wakabiliwa na uhaba wa wahudumu wa afya
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kata ya Matongoro Wilaya ya Kongwa wanakabiliwa na uhaba wa watumishi katika huduma ya afya pamoja na nyumba za watumishi hao. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesena wanakabiliwa na uhaba wa…