Dodoma FM
wabunifu
10 May 2021, 12:23 pm
Serikali yaahidi kuwalinda wabunifu na wavumbuzi ili kuendelea kutengeneza ajira…
Na;Mindi Joseph Serikali imesema itaendelea kuwalinda wabunifu na wavumbuzi mbalimbali kupitia sheria ya alama ya biashara na huduma ya mwaka 2000 ili kuendelea kutengeneza ajira nchini. Akizungumza na Taswira ya habari Raphael Mtalima Afisa utumishi na utawala mwandamizi kutoka Brela…